1 line
363 B
Plaintext
1 line
363 B
Plaintext
\v 6 Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, "Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikamu!" \v 7 Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeili mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye. |