1 line
319 B
Plaintext
1 line
319 B
Plaintext
\v 15 Kisha nabii Yeremia akamwambia Hanania nabii, "Sikiliza Hanania! Yahwe hajakutuma, bali wewe mwenyewe umewasababisha watu hawa kuamini katika uongo. \v 16 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kukutuma nje ya dunia. Mwaka huu utakufa." \v 17 Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, Hanania nabii akafa. |