sw_jer_text_reg/06/04.txt

1 line
218 B
Plaintext

\v 4 Jitakaseni wenyewe kwa miungu kwa ajili ya vita. Twendeni tukamvamie wakati wa adhuhuri. Ni vibaya sana kwamba mchana unatoweka na vivuli vya jioni vinakuja. \v 5 Lakini tumvamieni usiku na na tuharibu ngome zake.