sw_jer_text_reg/05/16.txt

1 line
282 B
Plaintext

\v 16 Podo lao ni kaburi wazi. Wote ni wanajeshi. \v 17 Kwa hiyo mavuno yako yataliwa, wana wako na binti zako pia, na chakula chako. Watakula kondoo wako na ng'ombe wako, watakula matunda ya zabibu zako na ya mitiini. Wataiangusha chini miji yenu na boma zake ambazo mnazitumainia.