sw_jer_text_reg/51/63.txt

6 lines
569 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 63 Kisha mtakapokuwa mmemaliza kusoma gombo hili, funge pamoja na jiwe na ulitupe katikati ya Frati. \v 64 Sema, 'Babeli itazama namna hii. Hautainuka kwa sababu ya mabaya ninayoyapeleka juu yake, nao wataanguka." Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.
=======
\v 63 Kisha mtakapomaliza kusoma gombo hili, funga jiwe kubwa juu yake na ulitupe katikati ya Frati. \v 64 Sema, 'Babeli utazama kama hivi. Hautainuka kwa sababu ya mabaya ninayoyapeleka juu yake, nao wataanguka." Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113