sw_jer_text_reg/48/26.txt

6 lines
749 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 26 Mnywesheni, maana alitenda kwa kiburi kinyume changu, Yahwe. Basi Moabu anapiga makofi kwa machukizo kwa matapiko yake mwenyewe, hivyo amekuwa pia kitu cha kuchekesha. \v 27 Kwani Israeli hakufanyika kitu cha kuchekesha kwako? Je, alikuwa amepatikana miongoni mwa wezi, kiasi cha kukufanya utikise dhidi yake kichwa chako kila mara uliponena juu yake?
=======
\v 26 Mnywesheni, maana alitenda kwa kiburi kinyume changu, Yahwe. Basi Moabu anapiga makofi kwa machukizo kwa matapiko yake mwenyewe, hivyo amekuwa pia kitu cha kuchekesha. \v 27 Maana Israeli hakuwa kitu cha kuchekesha kwako? Alionekana miongoni mwa wezi, kwamba ulitikisa kichwa chako kwake mara ulipoongea juu yake?
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113