sw_jer_text_reg/46/11.txt

6 lines
612 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 11 Panda Gileadi ujipatie dawa, binti wa Misri uliyebikra. Haifai kwamba unaweka dawa nyingi juu yako. Hakuna uponyaji kwako. \v 12 Mataifa wamesikia kuaibika kwako. Nchi imejawa na fedheha yako, maana askari hujikwaa juu ya askari; na wote wawili uanguka pamoja."
=======
\v 11 Panda Gileadi ujipatie dawa, binti wa Misri uliye bikra. Haifai kwamba unaweka dawa nyingi juu yako. Hakuna uponyaji kwako. \v 12 Mataifa wamesikia kuaibika kwako. Nchi imejawa na maombolezo yako, maana askari anajikwaa juu ya askari; na wote wawili huanguka pamoja."
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113