sw_jer_text_reg/45/04.txt

6 lines
786 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 4 Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: "Yahwe asema hivi: Ona, nilichokijenga, sasa ninakirarua chini. Nilichopanda, sasa ninaking'oa. Nitafanya hivi kote duniani. \v 5 Lakini je, unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja juu ya binadamu wote--hii ni tamko la Yahwe--lakini ninakupa maisha yako kama nyara popote utakakoenda."
=======
\v 4 Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: "Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninang'oa. Hii ni kweli juu ya dunia. \v 5 Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda."
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113