sw_jer_text_reg/44/13.txt

6 lines
826 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 13 Kwa kuwa nitawaadhibu watu wanaikalia nchi ya Misri kama nilivyoadhibu Yerusalem kwa upanga, njaa, na pigo. \v 14 kiasi kwamba, kusiwepo mabaki yeyote ya Yuda ambao wameenda kuishi huko kwenye nchi ya Misri watatoroka au kunusurika au kurudi kwenye nchi ya Yuda, wanakotamani kurudi na kuishi; na hakuna mmoja kati yao atakaye rudi isipokuwa a wachache ambao walitoroka kutoka huko."
=======
\v 13 Kwa kuwa nitawaadhibu watu wakazi wa nchi ya Misri kama nilivyoadhibu Yerusalemu kwa upanga, njaa, na pigo. \v 14 Hakuna mkimbizi au mwathirika wa mabaki ya Yuda ambaye wataenda kuishi huko kwenye nchi ya Misri watarudi kwenye nchi ya Yuda, hata kama wanataka kurudi na kuishi huko. Hakuna kati yao atarudi, ijapokuwa wachache ambao watatoroka kutoka huko."
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113