sw_jer_text_reg/44/01.txt

6 lines
1.2 KiB
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\c 44 \v 1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia kuhusu Wayahudi wote walioishi katika nchi ya Misri, wale wanaoishi Migdoli, Tahpanhesi, Memphis, na katika nchi ya Patrosi. \v 2 "Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Wewe mwenyewe umeyaona maafa yote niliyoleta juu ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda. Ona, yamekuwa ukiwa leo. Hakuna hata mmoja aishie humo. \v 3 Hii ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya kunichokoza mimi kwa kwenda kuchoma ubani na kuabudu miungu mingine. Hii ilikuwa si miungu ambayo wao wenyewe, wala ninyi, au mababu zenu walijua.
=======
\c 44 \v 1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia kuhusu Wayahudi wote walioishi katika nchi ya Misri, wale wanaoishi Migidoli, Tahpanhesi, Memphisi, na katika nchi ya Patrosi. \v 2 "Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Wewe mwenyewe umeyaona maafa yote niliyoleta juu ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda. Ona, ni ukiwa leo. Hakuna yeyote anaishi mwao. \v 3 Hii ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya kunikosea mimi kwa kwenda kuchoma ubani na kuabudu miungu mingine. Hawa walikuwa miungu ambao wala wao wenyewe, wala ninyi, wala mababu zenu walijua.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113