sw_jer_text_reg/02/14.txt

1 line
384 B
Plaintext

\v 14 Je, Israeli ni mtumwa? Kwani hakuzaliwa nyumbani? Kwa nini sasa amekuwa nyara? \v 15 Wanasimba wameunguruma dhidi yake. Wamepiga kelele sana na kuifanya kuwa ukiwa. Miji yake imeharibiwa na kubaki bila watu. \v 16 Pia watu wa Nufu na Tahapanesi watakinyoa kichwa chako. \v 17 Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA, wakati Mungu wenu, alipokuwa akiwaongoza njiani?