sw_jer_text_reg/51/17.txt

6 lines
871 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 17 Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na akili; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake. \v 18 Hazifai, kazi ya wafanya mzaa; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao. \v 19 Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila la urithi wake; Yahwe wa majeshi ni jina lake.
=======
\v 17 Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na maarifa; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake. \v 18 Hazifai, kazi ya wafanya dhihaka; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao. \v 19 Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; Yahwe Mungu wa majeshi ni jina lake.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113