6 lines
703 B
Plaintext
6 lines
703 B
Plaintext
<<<<<<< HEAD
|
|
\v 7 Lakini mtu anayemtegemea Bwana amebarikiwa, kwa kuwa Bwana ndiye tumaini lake. \v 8 Kwa maana atakuwa kama mmea karibu na maji kando ya mto; mizizi yake itaenea. Hawezi kuona joto likija, kwa kuwa majani yake yatakuwa mabichi. Kisha mwaka wa ukame hawezi kuwa na wasiwasi, wala hataacha kuzalisha matunda.
|
|
=======
|
|
\v 7 Lakini mtu anayemtegemea Bwana amebarikiwa, kwa kuwa Bwana ndiye tumaini lake. \v 8 Kwa maana atakuwa kama mti uliopandwa karibu na maji kando ya mto; mizizi yake itaenea. Hawezi kuona joto likija, kwa kuwa majani yake yatakuwa mabichi. Kisha mwaka wa ukame hawezi kuwa na wasiwasi, wala hautaacha kuzalisha matunda.
|
|
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|