sw_jer_text_reg/39/06.txt

6 lines
524 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 6 Mfalme wa Babeli alimchinja binti wa Sedekia mbele ya macho yake huko Ribla. Pia aliwachinja wanaume wote wa heshima wa Yuda. \v 7 Kisha alingoa macho ya Sedekia na kumfunga mnyororo wa shaba ili kusudi kumpeleka Babeli.
=======
\v 6 Mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake huko Ribla. Pia aliwachinja wanaume wote wa heshima wa Yuda. \v 7 Kisha aling'oa macho ya Sedekia na kumfunga minyororo ya shaba ili kusudi kumpeleka Babeli.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113