sw_jer_text_reg/38/19.txt

1 line
175 B
Plaintext

\v 19 Mfalme Sedekia alisema kwa Yeremia, "Lakini ninaogopa watu wa Yuda waliotoka jangwani kwenda kwa Wakaldayo, kwa sababu nitapewa katika mkono wao, kwa kunifanyia vibaya."