sw_jer_text_reg/37/03.txt

6 lines
899 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, "Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu." \v 4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza. \v 5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
=======
\v 3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseya kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, "Omba kwa niaba yetu kwa Yahwe Mungu wetu." \v 4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza. \v 5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalemu walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalemu.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113