sw_jer_text_reg/31/08.txt

6 lines
1.0 KiB
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 8 Ona, niko karibu kuwaletaa kutoka nchi za kusini. Nitawakusanya kutoka sehemu zaa mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa kati kati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua wataakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa. \v 9 Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maoambi yao. Nitawafanya wasafiri kataika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Afraimu atakuwa mzaliwa wanagau wwa kwanza
=======
\v 8 Ona, niko karibu kuwaleta kutoka nchi za kaskazini. Nitawakusanya kutoka sehemu za mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa katikati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua watakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa. \v 9 Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maombi yao. Nitawafanya wasafiri katika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Efraimu atakuwa mzaliwa wangu wa kwanza
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113