6 lines
868 B
Plaintext
6 lines
868 B
Plaintext
<<<<<<< HEAD
|
|
\v 1 Neno lilokuja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe likisema, \v 2 "Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema, 'Jiandikie mwenyewe katika baraua maneno yote niliyotangaza kwako katika barua. \v 3 Maana ona, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki."'
|
|
=======
|
|
\c 30 \v 1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe likisema, \v 2 "Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema, 'Andika kwa kitabu maneno yote niliyonena kwako. \v 3 Maana tazama, siku zaja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki."'
|
|
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|