sw_jer_text_reg/13/01.txt

6 lines
975 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 1 Bwana aliniambia hivi, "Nenda ukape nguo ya kitani na kuiweka karibu na kiuno chako, lakini usiiweke kwenye maji kwanza." \v 2 Kwa hiyo nilinunua vazi kama vile Bwana alivyoagiza, na nikafunga karibu na kiuno changu. \v 3 Ndipo neno la Bwana likanijia mara ya pili, kusema, \v 4 "Twaa vazi lako ulilolinunua lililo karibu na kiuno chako, uinuke, ukasafiri mpaka Frati. Ukaifiche huko katika mwamba wa jabali.
=======
\c 13 \v 1 Bwana aliniambia hivi, "Nenda ukape nguo ya kitani na kuiweka karibu na kiuno chako, lakini usiiweke kwenye maji kwanza." \v 2 Kwa hiyo nilinunua vazi kama vile Bwana alivyoagiza, na nikafunga karibu na kiuno changu. \v 3 Ndipo neno la Bwana likanijia mara ya pili, kusema, \v 4 "Twaa vazi lako ulilolinunua lililo karibu na kiuno chako, uinuke, ukasafiri mpaka Frati. Ukaifiche huko katika mwamba wa jabali. \v 5 Ndipo nikaenda na kuuficha huko Frati, kama Bwana alivyoniamuru.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113