sw_jer_text_reg/09/25.txt

6 lines
673 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 25 Tazama, siku zaja - asema BWANA wakati nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao. \v 26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa."
=======
\v 25 Tazama, siku zaja - asema Bwana wakati nitakapowaadhibu wote ambao wametahiriwa miili tu. \v 26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa."
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113