6 lines
992 B
Plaintext
6 lines
992 B
Plaintext
<<<<<<< HEAD
|
|
\v 7 Kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, "Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu? \v 8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubri. \v 9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema BWANA na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
|
|
=======
|
|
\v 7 Kwa hiyo Bwana Mungu wa majeshi asema hivi, "Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu? \v 8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubiri. \v 9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema Bwana na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
|
|
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|