sw_jer_text_reg/03/06.txt

1 line
358 B
Plaintext

\v 6 Kisha BWANA akanena nami katika siku za mfalme Yosia, "Je, unaona jinsi Israeli alivyoniasi? Yeye anaenda kwenye kila kilima na katika kila mti wenye majani mabichi, na kule anafanya kama mwanamke kahaba. \v 7 Nikisema, 'Baada ya kuwa amefanya mambo haya yote, atanirudia,' lakini hakurudi. Kisha dada yake Yuda ambaye ni mwasi pia aliona alichokifanya.