\v 3 BWANA wsa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Tengenezeni njia zenu na kufanya mema, nami nitawaacha muishi hapa. \v 4 Msitumainie maneno ya uongo mkisema, "Hekalu la BWANA!, Hekalu la BWANA! Hekalu la BWANA!"