\v 21 Sauti ilisikika juu ya nyanda, kilio na kusihi kwa watu wa Israeli! kwa kuwa wamezibadili njia; wamemsahau BWANA, Mungu wao. \v 22 "Rudini enyi watu mlioasi! Nami nitawaponya na uasi wenu!" "Tazama! tutakuja kwako, kwa kuwa wewe ni BWANA, Mungu wetu!