\v 4 Neno la BWANA lilinijia, likisema, \v 5 "kabla sijakuumba tumboni, Nilikuchagua; kabla hujazailiwa toka tumboni Nilikutenga; Nilikufanya kuwa nabii kwa mataifa." \v 6 "Ahaa, BWANA!" Nilisema, "mimi sijui kusema, kwa kuwa mimi ni mtoto."