<<<<<<< HEAD \v 6 Nilikaa kwa uangalifu na nikasikiliza, lakini hawakuongea kilicho sahihi; hakuna aliyetubia uovu wake, hakuna asemaye, "Nimefanya nini?" Kila mmoja wao huenda kule anakotaka, kama farasi aendaye kasi vitani. \v 7 Hata koikoi angani hujua wakati sahihi; na njiwa, na mbayuayu, n a korongo. Huhama kwa wakati sahihi, lakini watu wangu hawayajui maagizo ya BWANA. ======= \v 6 Nilikaa kwa uangalifu na nikasikiliza, lakini hawakuongea kilicho sahihi; hakuna aliyetubia uovu wake, hakuna asemaye, "Nimefanya nini?" Kila mmoja wao huenda kule anakotaka, kama farasi aendaye kasi vitani. \v 7 Hata koikoi angani hujua wakati sahihi; na njiwa, na mbayuwayu, na korongo. Huhama kwa wakati sahihi, lakini watu wangu hawayajui maagizo ya Bwana. >>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113