diff --git a/31/31.txt b/31/31.txt index 4564b62..33b975d 100644 --- a/31/31.txt +++ b/31/31.txt @@ -1 +1 @@ -\v 31 Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha aganao jipya pamaoja na nyumba aya Israeli na nyumba ya Yuda. \v 32 Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Missiri. Hizo zzilikuwa siku ambapo walilivunja aaganao lanaahu, ingawa nilikuwa mme kwao—hili ni tangazo la Yahwe. \ No newline at end of file +\v 31 Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. \v 32 Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Misiri. Hizo zilikuwa siku ambapo walilivunja agano langu, ingawa nilikuwa mume kwao—hili ni tangazo la Yahwe. \ No newline at end of file