diff --git a/43/11.txt b/43/11.txt index 4cdf84d..172811d 100644 --- a/43/11.txt +++ b/43/11.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kifo atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga. \v 12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma au kuwateka. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi. \v 13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri." -======= -\v 11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga. \v 12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi. \v 13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri." ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kifo atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga. \v 12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma au kuwateka. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibuo nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi. \v 13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri." \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 7344244..b13d084 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -265,6 +265,7 @@ "43-01", "43-04", "43-08", + "43-11", "44-title", "45-title", "46-title",