Tue Aug 30 2022 10:43:01 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
ebce4b8d36
commit
efe1f8f438
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 18 Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nimeadhibika kama ndama asiye na mafunzo. Nirudishe na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu. \v 19 Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundishwa, nilijipiga kofi shavu langu. Niliaibika na kudharirika, kwa maana nilizaliwa na hatia ya ujana wangu.' \v 20 Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitakuwa na huruma juu yake—hili ni tangazo la Yahwe."
|
||||
\v 18 Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nimeadhibika kama ndama asiye na mafunzo. Nirudishe na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu. \v 19 Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundishwa, nilijipiga kofi shavu langu. Niliaibika na kudharirika, kwa maana nilizaliwa na hatia ya ujana wangu.' \v 20 Efraimu siyo mwanangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitakuwa na huruma juu yake—hili ni tangazo la Yahwe."
|
Loading…
Reference in New Issue