Tue Sep 06 2022 11:48:14 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
34021f77c9
commit
deca299dcb
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 20 Waambia haya watu wa nyumba ya Yakobo na yasikike katika Yuda. Waambie, \v 21 'Sikilizeni hili, eny watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa; zina masikio lakini haziwawezi kusikia. \v 22 Je, hamnihofu mimi - asema BWANA - au kutetemeka mbele ya uso wangu? Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari, ambao ni agizo la kudumu ambalo halibomoki - hata kama bahari ina kupwa na kujaa, bado hauwenzi kubomoka. Hata kama mawimbi yake yanaunguruma, hayawezi kuvuka.
|
||||
\v 20 Waambia haya watu wa nyumba ya Yakobo na yasikike katika Yuda. Waambie, \v 21 'Sikilizeni hili, enyi watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa; zina masikio lakini haziwezi kusikia. \v 22 Je, hamnihofu mimi - asema Bwana - au kutetemeka mbele ya uso wangu? Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari, ambao ni agizo la kudumu ambalo halibomoki - hata kama bahari ina kupwa na kujaa, bado hauwezi kubomoka. Hata kama mawimbi yake yanaunguruma, hayawezi kuvuka.
|
Loading…
Reference in New Issue