Wed Oct 12 2022 12:47:53 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
8a5176ee1a
commit
d360d1bdfd
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimeangushwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa - upanga utakutangulia.'
|
||||
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimeangushwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa - upanga utakutangulia.'
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 6 Kimbieni! okeeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
|
||||
\v 6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
|
|
@ -545,6 +545,9 @@
|
|||
"47-01",
|
||||
"47-03",
|
||||
"47-05",
|
||||
"48-title"
|
||||
"48-title",
|
||||
"48-01",
|
||||
"48-03",
|
||||
"48-06"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue