Thu Sep 01 2022 12:51:36 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2022-09-01 12:51:37 +03:00
parent 97b179b2cb
commit bd86888db3
2 changed files with 3 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitanganza kwa wato wote. Alikuwa akisema, \v 2 "Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi. \v 3 Yahwe asema hivi: Huu mji huu utapewa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata."
\c 38 \v 1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitangaza kwa watu wote. Alikuwa akisema, \v 2 "Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi. \v 3 Yahwe asema hivi: Huu mji utapeanwa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata."

View File

@ -179,6 +179,7 @@
"37-16",
"37-18",
"37-21",
"38-title"
"38-title",
"38-01"
]
}