diff --git a/50/29.txt b/50/29.txt index 67df76b..311f48b 100644 --- a/50/29.txt +++ b/50/29.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 29 Ita wapiga pinde dhidi ya Babeli--wale wote wapindao pinde zao. Piga kambi kinyume chake, na msimwache yeyote kutoroka. Mlipeni kwa kile alichofanya. Mfanyieni kwa kipimo alichotumia. Maana amemdharau Yahwe--Mtakatifu wa Israeli. \v 30 Hivyo vijana wake wataanguka katika viwanja vya mji, na wapiganaji wake wote wataangamizwa siku hiyo--hili ni tamko la Yahwe." -======= -\v 29 Ita wapiga pinde dhidi ya Babeli - wale wote wapindao pinde zao. Piga kambi kinyume chake, na msimwache yeyote kutoroka. Mlipeni kwa kile alichofanya. Mfanyieni kwa kipimo alichotumia. Maana amemdharau Yahwe, Mtakatifu wa Israeli. \v 30 Hivyo vijana wake wataanguka katika viwanja vya mji, na wapiganaji wake wote wataangamizwa siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe." ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 29 Ita wapiga pinde dhidi ya Babeli--wale wote wapindao pinde zao. Piga kambi kinyume chake, na msimwache yeyote kutoroka. Mlipeni kwa kile alichofanya. Mfanyieni kwa kipimo alichotumia. Maana amemdharau Yahwe--Mtakatifu wa Israeli. \v 30 Hivyo vijana wake wataanguka katika viwanja vya mji, na wapiganaji wake wote wataangamizwa siku hiyo--hili ni tamko la Yahwe." \ No newline at end of file diff --git a/50/31.txt b/50/31.txt index 737dc5a..27975b0 100644 --- a/50/31.txt +++ b/50/31.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 31 Tazama, mimi ni kunyume chako, mwenye majivuno--hili ni tamko la Bwana Yahwe wa majeshi--maana siku yako imefika, mwenye kiburi, wakati nitakapokuadhibu. \v 32 Hivyo wenye kiburi watajikwaa na kuanguka. Hakuna atakaye wainua. Nitawasha moto katika miji yao; utateketeza kila kitu kati yake. -======= -\v 31 Tazama, mimi ni kunyume chako, mwenye majivuno - hili ni tamko la Bwana Yahwe Mungu wa majeshi - maana siku yako imefika, mwenye kiburi, wakati nitakapokuadhibu. \v 32 Hivyo wenye kiburi watajikwaa na kuanguka. Hakuna atakaye wainua. Nitawasha moto katika miji yao; utateketeza kila kitu kati yake. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 31 Tazama, mimi ni kunyume chako, mwenye majivuno--hili ni tamko la Bwana Yahwe wa majeshi--maana siku yako imefika, mwenye kiburi, wakati nitakapokuadhibu. \v 32 Hivyo wenye kiburi watajikwaa na kuanguka. Hakuna atakaye wainua. Nitawasha moto katika miji yao; utateketeza kila kitu kati yake. \ No newline at end of file diff --git a/50/33.txt b/50/33.txt index a063936..7bfd968 100644 --- a/50/33.txt +++ b/50/33.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 33 Yahwe wa majeshi asema hivi: watu wa Israeli wamenyanyaswa, pamoja na watu wa Yuda. Wate waliowateka bado wanawashikilia; wanakataa kuwaacha waondoke. \v 34 Yeye awaokoaye ni mwenye nguvu. Yahwe wa majeshi ni jina lake. Kwa hakika atalitetea shitaka lao, ili kuleta pumziko katika nchi, na kuwapiga wakaao Babeli. -======= -\v 33 Yahwe Mungu wa majeshi asema hivi: watu wa Israeli wamenyanyaswa, pamoja na watu wa Yuda. Wote waliowateka bado wanawashikilia; wanakataa kuwaacha waondoke. \v 34 Yeye awaokoaye ni mwenye nguvu. Yahwe Mungu wa majeshi ni jina lake. Kwa hakika atalitetea shitaka lao, ili kuleta pumziko katika nchi, na kuwapiga wakaao Babeli. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 33 Yahwe wa majeshi asema hivi: watu wa Israeli wamenyanyaswa, pamoja na watu wa Yuda. Wate waliowateka bado wanawashikilia; wanakataa kuwaacha waondoke. \v 34 Yeye awaokoaye ni mwenye nguvu. Yahwe wa majeshi ni jina lake. Kwa hakika atalitetea shitaka lao, ili kuleta pumziko katika nchi, na kuwapiga wakaao Babeli. \ No newline at end of file diff --git a/50/35.txt b/50/35.txt index 986a22f..2d9bde2 100644 --- a/50/35.txt +++ b/50/35.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 35 Upanga u juu ya Wakalidayo--asema Yahwe--na juu ya wakaao Babeli, viongozi wake, na wenye hekima wake. \v 36 Upanga unakuja juu ya waganga, ili wajione kuwa wajinga. Upanga utakuwa juu ya askari wake, hivyo watajaa hofu. \v 37 Upanga waja juu ya farasi wake, vibandawazi vyao na na watu wote waliomo Babeli, hivyo watakuwa kama wanawake. Upanga utakuwa juu ya ghala zake, nazo zitatekwa. -======= -\v 35 Upanga u juu ya Wakalidayo - asema Yahwe - na juu ya wakaao Babeli, viongozi wake, na wenye hekima wake. \v 36 Upanga unakuja juu ya waganga, ili wajione kuwa wajinga. Upanga utakuwa juu ya askari wake, hivyo watajaa hofu. \v 37 Upanga utakuwa juu ya farasi wake, vibandawazi vyao na watu wote waliomo Babeli, hivyo watakuwa kama wanawake. Upanga utakuwa juu ya ghala zake, nazo zitatekwa. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 35 Upanga u juu ya Wakalidayo--asema Yahwe--na juu ya wakaao Babeli, viongozi wake, na wenye hekima wake. \v 36 Upanga unakuja juu ya waganga, ili wajione kuwa wajinga. Upanga utakuwa juu ya askari wake, hivyo watajaa hofu. \v 37 Upanga waja juu ya farasi wake, vibandawazi vyao na na watu wote waliomo Babeli, hivyo watakuwa kama wanawake. Upanga utakuwa juu ya ghala zake, nazo zitatekwa. \ No newline at end of file diff --git a/50/38.txt b/50/38.txt index a2ef5e3..42d9840 100644 --- a/50/38.txt +++ b/50/38.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 38 Ukame unakuja juu ya maji yake, hivyo yatakauka. Maana ni nchi ya miungu wasiofaa, na wanafanya kama watu waliofanywa punguani kwa miungu yao isiyosaidia. \v 39 Hivyo wanyama wa jangwani na mbwea wataishi huko, na watoto wa mbuni wataishi ndani yake. Kwa muda wote, hatakaliwa tena. Kutoka kizazi hata kizazi, hatakaliwa tena na watu. \v 40 Kama vile Mungu alivyoziangamiza Sodoma na Gomora na majirani zake--asema Yahwe--hakuna atakayeishi huko; hakuna mtu atakayekaa ndani yake." -======= -\v 38 Ukame unakuja juu ya maji yake, hivyo yatakauka. Maana ni nchi ya miungu wasiofaa, na wanafanya kama watu waliofanywa punguani kwa miungu yao isiyosaidia. \v 39 Hivyo wanyama wa jangwani wakaishi na mbwea wataishi huko, na watoto wa mbuni wataishi ndani yake. Kwa muda wote, hatakaliwa tena. Kutoka kizazi hata kizazi, hatakaliwa tena na watu. \v 40 Kama vile Mungu alivyoziangamiza Sodoma na Gomora na majirani zake - asema Yahwe - hakuna atakayeishi huko; hakuna mtu atakayekaa ndani yake." ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 38 Ukame unakuja juu ya maji yake, hivyo yatakauka. Maana ni nchi ya miungu wasiofaa, na wanafanya kama watu waliofanywa punguani kwa miungu yao isiyosaidia. \v 39 Hivyo wanyama wa jangwani na mbwea wataishi huko, na watoto wa mbuni wataishi ndani yake. Kwa muda wote, hatakaliwa tena. Kutoka kizazi hata kizazi, hatakaliwa tena na watu. \v 40 Kama vile Mungu alivyoziangamiza Sodoma na Gomora na majirani zake--asema Yahwe--hakuna atakayeishi huko; hakuna mtu atakayekaa ndani yake." \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 68a6b74..09c5f69 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -354,6 +354,11 @@ "50-23", "50-25", "50-27", + "50-29", + "50-31", + "50-33", + "50-35", + "50-38", "50-43", "50-44", "51-title",