Wed Sep 07 2022 10:03:27 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2022-09-07 10:03:27 +03:00
parent ca0c535691
commit b6a029d93c
3 changed files with 4 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 15 Kwa hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu. \v 16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'"
\v 15 Kwa hiyo Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu. \v 16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'"

View File

@ -1 +1 @@
\v 17 BWANA wa majeshi asema hivi, "Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje. \v 18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.
\v 17 Bwana Mungu wa majeshi asema hivi, "Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje. \v 18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.

View File

@ -136,6 +136,8 @@
"09-07",
"09-10",
"09-13",
"09-15",
"09-17",
"26-title",
"26-01",
"26-04",