diff --git a/51/11.txt b/51/11.txt index 8dafb98..398d6d5 100644 --- a/51/11.txt +++ b/51/11.txt @@ -1 +1 @@ -\v 11 Noeni mishale na kuchukua ngao. Yahwe anaiimiza roho ya mfalme wa Umedi katika mpango wa kuiangamiza Babeli. Hii ni kwa kisasi cha Yahwe, kisasi kwa maangamizi ya hekalu lake. \v 12 Inueni bendela juu ya kuta za Babeli; wekeni walinzi. Wekeni waangalizi; wekeni askari waviziao ili kumkamata kila akimbiliaye mjini, maana Yahwe atafanya kile alichokipanga. Atafanya alichokisema juu ya wakaao Babeli. \ No newline at end of file +\v 11 Noeni mishale na kuchukua ngao. Yahwe anahiimiza roho ya mfalme wa Umedi katika mpango wa kuiangamiza Babeli. Hii ni kwa kisasi cha Yahwe, kisasi kwa maangamizi ya hekalu lake. \v 12 Inueni bendera juu ya kuta za Babeli; wekeni walinzi. Wekeni waangalizi; wekeni askari waviziao ili kumkamata kila akimbiliaye mjini, maana Yahwe atafanya kile alichokipanga. Atafanya alichokisema juu ya wakaao Babeli. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 2c3ce95..d46f393 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -369,6 +369,7 @@ "51-05", "51-07", "51-09", + "51-11", "51-29", "52-title", "52-01",