From 906a5eb4271f13a88cc10920e0daf412cb57e3e8 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: nicholuskombo Date: Mon, 7 Nov 2022 10:54:34 +0300 Subject: [PATCH] Mon Nov 07 2022 10:54:32 GMT+0300 (East Africa Time) --- 51/50.txt | 2 +- 51/52.txt | 2 +- manifest.json | 3 ++- 3 files changed, 4 insertions(+), 3 deletions(-) diff --git a/51/50.txt b/51/50.txt index ef47905..b220e5f 100644 --- a/51/50.txt +++ b/51/50.txt @@ -1 +1 @@ -\v 50 Ondokeni!, manusura wa vita, Msikawie. Mkumbukeni Yahwe tokea mbali; Yerusalemu na ikumbukwe. \v 51 Tumeaibika, maana tumekuwa matusi; dhihaka imefunika nyuso zetu, maana wageni wameingia mahali patakatifu pa nyumba ya Yahwe. \ No newline at end of file +\v 50 Ondokeni!, manusura wa vita, Msikawie. Mkumbukeni Yahwe tokea mbali; Yerusalemu na ikumbukwe. \v 51 Tumeaibika, maana tumekuwa tukitukanwa matusi; dhihaka imefunika nyuso zetu, maana wageni wameingia mahali patakatifu pa nyumba ya Yahwe. \ No newline at end of file diff --git a/51/52.txt b/51/52.txt index 7061a3d..bbfb7f0 100644 --- a/51/52.txt +++ b/51/52.txt @@ -1 +1 @@ -\v 52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote. \v 53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, aharibuye kutoka kwangu angemwendea - hili ni tamko la Yahwe. \ No newline at end of file +\v 52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja--hivi ndivyo asemavyo Yahwe - nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote. \v 53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, aharibuye kutoka kwangu angemwendea - hili ni tamko la Yahwe. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index ed11116..aef9bde 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -181,6 +181,7 @@ "51-41", "51-43", "51-45", - "51-47" + "51-47", + "51-50" ] } \ No newline at end of file