diff --git a/24/01.txt b/24/01.txt index 50f5d07..01fd344 100644 --- a/24/01.txt +++ b/24/01.txt @@ -1 +1 @@ -\v 1 Bwana alinionyeshea kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.) \v 2 Kikapu kimoja cha tini kilikuwa nzuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa. \v 3 Bwana akaniambia, "Unaona nini Yeremia?" Nikasema, "Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa." \ No newline at end of file +\c 24 \v 1 Bwana alinionyesha kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.) \v 2 Kikapu kimoja cha tini kilikuwa kizuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa. \v 3 Bwana akaniambia, "Unaona nini Yeremia?" Nikasema, "Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa." \ No newline at end of file diff --git a/24/title.txt b/24/title.txt new file mode 100644 index 0000000..2974626 --- /dev/null +++ b/24/title.txt @@ -0,0 +1 @@ +Sura 24 \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 4c19273..855137f 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -294,6 +294,8 @@ "23-33", "23-35", "23-37", + "24-title", + "24-01", "26-title", "26-01", "26-04",