From 7afe0d2bfa1b1f3f44b272a78036fca2b9071e5d Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: tsDesktop Date: Tue, 9 Aug 2022 20:11:45 +0300 Subject: [PATCH] Tue Aug 09 2022 20:11:44 GMT+0300 (East Africa Time) --- 26/07.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/26/07.txt b/26/07.txt index 553704a..a61ec63 100644 --- a/26/07.txt +++ b/26/07.txt @@ -1 +1 @@ -\v 7 Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe. \v 8 Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe alimwwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, "Hakika utakufa! \v 9 Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?" Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia. \ No newline at end of file +\v 7 Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe. \v 8 Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe amemwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, "Hakika utakufa! \v 9 Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?" Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia. \ No newline at end of file