Thu Sep 01 2022 10:29:28 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2022-09-01 10:29:29 +03:00
parent 0f3960896b
commit 640c7a2f3a
2 changed files with 3 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 5 Kisha nikaleta mabakuli na vikombe vilivyojaa divai mbele ya Warekabi na kusema kwao, 'Kunyeni divai." \v 6 Lakini walisema, "hatutakunywa divai yoyote, kwa maana babu yetu, Yonadabu mwana wa Rekabu, alituamuru, Msinywe divai yoyote, ninyi wala uzao wenu, milele. \v 7 Pia, msijenge nyumba yoyote, kupanda mbegu zozote, wala kupanda shamba lolote la mizabibu; hivi siyo kwa ajili yenu. Kwa maana lazima muishi katika hema maisha yenu yote, ili kwamba muweze kuishsi siku nyingi katika nchi mnayoishi kama wageni.'
\v 5 Kisha nikaleta mabakuli na vikombe vilivyojaa divai mbele ya Warekabi na kusema kwao, 'Kunyweni divai." \v 6 Lakini walisema, "hatutakunywa divai yoyote, kwa maana babu yetu, Yonadabu mwana wa Rekabu, alituamuru, Msinywe divai yoyote, ninyi wala uzao wenu, milele. \v 7 Pia, msijenge nyumba yoyote, kupanda mbegu zozote, wala kupanda shamba lolote la mizabibu; hivi siyo kwa ajili yenu. Kwa maana lazima muishi katika hema maisha yenu yote, ili kwamba muweze kuishi siku nyingi katika nchi mnayoishi kama wageni.'

View File

@ -148,6 +148,7 @@
"34-17",
"34-20",
"35-title",
"35-01"
"35-01",
"35-05"
]
}