diff --git a/32/36.txt b/32/36.txt index 1576461..dba9e97 100644 --- a/32/36.txt +++ b/32/36.txt @@ -1 +1 @@ -\v 36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.' \v 37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama. \ No newline at end of file +\v 36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.' \v 37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, na hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama. \ No newline at end of file diff --git a/32/38.txt b/32/38.txt index 0edc726..d17581d 100644 --- a/32/38.txt +++ b/32/38.txt @@ -1 +1 @@ -\v 38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao. \v 39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao. \v 40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache. \ No newline at end of file +\v 38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao. \v 39 Nitawapa moyo mmoja na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao. \v 40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 1150bf6..20113fe 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -121,6 +121,7 @@ "32-26", "32-29", "32-31", - "32-33" + "32-33", + "32-36" ] } \ No newline at end of file