diff --git a/44/24.txt b/44/24.txt index 9df3f08..d5113a4 100644 --- a/44/24.txt +++ b/44/24.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 24 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, " Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri. \v 25 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, " Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kumwanga kinywaji cha sadaka kwake." Sasa timiza viapo vyenu, mkavibebe." -======= -\v 24 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, " Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri. \v 25 Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, " Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kumwaga kinywaji cha sadaka kwake." Sasa timiza viapo vyenu, yafanyeni." ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 24 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, " Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri. \v 25 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, " Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kumwanga kinywaji cha sadaka kwake." Sasa timiza viapo vyenu, mkavibebe." \ No newline at end of file diff --git a/44/26.txt b/44/26.txt index 35e563e..519bea0 100644 --- a/44/26.txt +++ b/44/26.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 26 Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu--asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, "Kama Bwana Yahwe aishivyo." \v 27 Tizama, Ninawachunga kwa ajili ya maafa na si kwa wema. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka watakapoisha wote. \v 28 Kisha walionusurika kwa upanga watarudi nchi ya Yuda kutoka nchi ya Misri, wakiwa idadi ndogo. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ni ninani ambaye neno lake litasimama--langu au lao. -======= -\v 26 Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu-asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, "Kama Bwana Yahwe aishivyo." \v 27 Ona, Ninakutazama juu yako kwa ajili ya maafa na si kwa uzuri. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka wote wameishia. \v 28 Kisha waathirika wa upanga watarudi kutoka nchi ya Misri kwa nchi ya Yuda, peke idadi ndogo yao. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ambao neno litakuwa kweli: yangu au yao. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 26 Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu--asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, "Kama Bwana Yahwe aishivyo." \v 27 Tizama, Ninawachunga kwa ajili ya maafa na si kwa wema. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka watakapoisha wote. \v 28 Kisha walionusurika kwa upanga watarudi nchi ya Yuda kutoka nchi ya Misri, wakiwa idadi ndogo. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ni ninani ambaye neno lake litasimama--langu au lao. \ No newline at end of file diff --git a/44/29.txt b/44/29.txt index 41df5b5..5961108 100644 --- a/44/29.txt +++ b/44/29.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 29 Hii itakuwa ishara kwenu-- hili ni tamko la Yahwe--kwamba ninaiweka dhidi yenu katika eneo hili, kiasi cha kujua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa. \v 30 Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtia Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kuwa kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake. -======= -\v 29 Hii itakuwa ishara kwa ajili yako - hili ni tamko la Yahwe - kwamba ninaweka dhidi yenu katika eneo hili, ili kwamba mtajua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa. \v 30 Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtoa Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 29 Hii itakuwa ishara kwenu-- hili ni tamko la Yahwe--kwamba ninaiweka dhidi yenu katika eneo hili, kiasi cha kujua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa. \v 30 Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtia Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kuwa kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake. \ No newline at end of file diff --git a/45/01.txt b/45/01.txt index 4569644..50ea8a9 100644 --- a/45/01.txt +++ b/45/01.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema, \v 2 "Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku: \v 3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.' -======= -\c 45 \v 1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema, \v 2 "Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku: \v 3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu kwa maumivu yangu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.' ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\c 45 \v 1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia--hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema, \v 2 "Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku: \v 3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.' \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 422911b..de99388 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -277,6 +277,9 @@ "44-18", "44-20", "44-22", + "44-24", + "44-26", + "44-29", "45-title", "46-title", "47-title",