diff --git a/40/01.txt b/40/01.txt index da3e723..02b46c8 100644 --- a/40/01.txt +++ b/40/01.txt @@ -1 +1 @@ -\c 40 \v 1 neno lilimjia Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradani, kamanda wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalemu na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli. \v 2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, "Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili. \ No newline at end of file +\c 40 \v 1 Neno lilimjia Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradani, kamanda wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalemu na Yuda ambao walipaswa kuwa matekani Babeli. \v 2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, "Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili. \ No newline at end of file