diff --git a/51/17.txt b/51/17.txt index ab6b72a..33a7d28 100644 --- a/51/17.txt +++ b/51/17.txt @@ -1 +1 @@ -\v 17 Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na akili; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake. \v 18 Hazifai, kazi ya wafanya mzaa; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao. \v 19 Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; Yahwe wa majeshi ni jina lake. \ No newline at end of file +\v 17 Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na akili; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake. \v 18 Hazifai, kazi ya wafanya mzaa; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao. \v 19 Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila la urithi wake; Yahwe wa majeshi ni jina lake. \ No newline at end of file diff --git a/51/20.txt b/51/20.txt index 327f9b7..577ecf2 100644 --- a/51/20.txt +++ b/51/20.txt @@ -1 +1 @@ -\v 20 Wewe ni nyundo ya vita yao, silaha ya vita yangu. Kwa wewe nitawaponda mataifa na kuharibu falme. \v 21 Kwa wewe nitaponda farasi na wawapandao; kwa wewe nitaponda vibandawazi na madereva wake. \ No newline at end of file +\v 20 Wewe ni nyundo ya vita yao, silaha ya vita yangu. Kwako nitawaponda mataifa na kuharibu falme. \v 21 Kwa wewe nitaponda farasi na wawapandao; kwa wewe nitaponda vibandawazi na madereva wake. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index cc4a2a4..063dfcd 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -165,6 +165,7 @@ "51-09", "51-11", "51-13", - "51-15" + "51-15", + "51-17" ] } \ No newline at end of file