Mon Nov 07 2022 19:57:32 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
nicholuskombo 2022-11-07 19:57:33 +03:00
parent 0c89aa15ab
commit 2e12f268ad
4 changed files with 7 additions and 15 deletions

View File

@ -1,5 +1 @@
<<<<<<< HEAD
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimefadhahishwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa--upanga utakwenda mbele yako.'
=======
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimeangushwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa - upanga utakutangulia.'
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimefadhahishwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa--upanga utakwenda mbele yako.'

View File

@ -1,5 +1 @@
<<<<<<< HEAD
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya kilio kikuu inakuja kutoka Horonaimu, ambako kuna maafa na maangamizi makuu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Watoto wake wamesikika kwa sauti za vilio vyao. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, kwani njia yote kuteremkia Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
=======
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya mvumo inakuja kutoka Horonaimu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Vilio vya watoto wake vinasikika. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, njia yote kuelekea Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya kilio kikuu inakuja kutoka Horonaimu, ambako kuna maafa na maangamizi makuu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Watoto wake wamesikika kwa sauti za vilio vyao. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, kwani njia yote kuteremkia Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.

View File

@ -1,5 +1 @@
<<<<<<< HEAD
\v 6 Kimbieni! okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
=======
\v 6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
\v 6 Kimbieni! okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.

View File

@ -299,7 +299,11 @@
"47-title",
"47-01",
"47-03",
"47-05",
"48-title",
"48-01",
"48-03",
"48-06",
"48-13",
"49-title",
"49-07",