Mon Nov 07 2022 19:57:32 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
0c89aa15ab
commit
2e12f268ad
|
@ -1,5 +1 @@
|
|||
<<<<<<< HEAD
|
||||
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimefadhahishwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa--upanga utakwenda mbele yako.'
|
||||
=======
|
||||
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimeangushwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa - upanga utakutangulia.'
|
||||
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|
||||
\c 48 \v 1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, "Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimefadhahishwa na kuaibishwa. \v 2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa--upanga utakwenda mbele yako.'
|
|
@ -1,5 +1 @@
|
|||
<<<<<<< HEAD
|
||||
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya kilio kikuu inakuja kutoka Horonaimu, ambako kuna maafa na maangamizi makuu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Watoto wake wamesikika kwa sauti za vilio vyao. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, kwani njia yote kuteremkia Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
|
||||
=======
|
||||
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya mvumo inakuja kutoka Horonaimu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Vilio vya watoto wake vinasikika. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, njia yote kuelekea Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
|
||||
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|
||||
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya kilio kikuu inakuja kutoka Horonaimu, ambako kuna maafa na maangamizi makuu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Watoto wake wamesikika kwa sauti za vilio vyao. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, kwani njia yote kuteremkia Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
|
|
@ -1,5 +1 @@
|
|||
<<<<<<< HEAD
|
||||
\v 6 Kimbieni! okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
|
||||
=======
|
||||
\v 6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
|
||||
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|
||||
\v 6 Kimbieni! okoeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika. \v 7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
|
|
@ -299,7 +299,11 @@
|
|||
"47-title",
|
||||
"47-01",
|
||||
"47-03",
|
||||
"47-05",
|
||||
"48-title",
|
||||
"48-01",
|
||||
"48-03",
|
||||
"48-06",
|
||||
"48-13",
|
||||
"49-title",
|
||||
"49-07",
|
||||
|
|
Loading…
Reference in New Issue