From 06fb29a9d1f2ccb83d42047e0af1da099a9f4966 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: nicholuskombo Date: Fri, 11 Nov 2022 09:05:18 +0300 Subject: [PATCH] Fri Nov 11 2022 09:05:16 GMT+0300 (East Africa Time) --- 51/52.txt | 6 +----- 51/54.txt | 6 +----- manifest.json | 3 +++ 3 files changed, 5 insertions(+), 10 deletions(-) diff --git a/51/52.txt b/51/52.txt index b43b3ad..e460926 100644 --- a/51/52.txt +++ b/51/52.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja--hivi ndivyo asemavyo Yahwe-- nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote. \v 53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, waharibuo kutoka kwangu wangemwendea--hili ni tamko la Yahwe. -======= -\v 52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote. \v 53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, aharibuye kutoka kwangu angemwendea - hili ni tamko la Yahwe. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja--hivi ndivyo asemavyo Yahwe-- nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote. \v 53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, waharibuo kutoka kwangu wangemwendea--hili ni tamko la Yahwe. \ No newline at end of file diff --git a/51/54.txt b/51/54.txt index 39b5a9b..188304a 100644 --- a/51/54.txt +++ b/51/54.txt @@ -1,5 +1 @@ -<<<<<<< HEAD -\v 54 Kilio cha maangamizi kilitoka Babeli, anguko kubwa kutoka nchi ya Wakaldayo. \v 55 Maana Yahwe anaiharibu Babeli. Anaifanya kelele ya sauti yake kutoweka. Adui zake wanaunguruma kama mawimbi ya maji mengi; kelele yao imekuwa na nguvu. \v 56 Maana waharibuo wamekuja kinyume chake--kinyume cha Babeli!--na shujaa wake wametekwa. Pinde zao zimevunjwa, maana Yahwe ni Mungu wa kisasi; atatekeleza malipizi haya. -======= -\v 54 Kelele ya maangamizi ilitoka Babeli, anguko kubwa kutoka nchi ya Wakaldayo. \v 55 Maana Yahwe anaiharibu Babeli. Anaifanya kelele ya sauti yake kuisha. Adui zake wanaunguruma kama mawimbi ya maji mengi; kelele yao imekuwa na nguvu. \v 56 Maana aharibuye amekuja kinyume chake - kinyume cha Babeli! - na shujaa wake wametekwa. Pinde zao zimevunjwa, maana Yahwe ni Mungu wa kisasi; atatekeleza kisasi hiki. ->>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113 +\v 54 Kilio cha maangamizi kilitoka Babeli, anguko kubwa kutoka nchi ya Wakaldayo. \v 55 Maana Yahwe anaiharibu Babeli. Anaifanya kelele ya sauti yake kutoweka. Adui zake wanaunguruma kama mawimbi ya maji mengi; kelele yao imekuwa na nguvu. \v 56 Maana waharibuo wamekuja kinyume chake--kinyume cha Babeli!--na shujaa wake wametekwa. Pinde zao zimevunjwa, maana Yahwe ni Mungu wa kisasi; atatekeleza malipizi haya. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 61ca1eb..b2d061e 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -388,6 +388,9 @@ "51-43", "51-45", "51-47", + "51-50", + "51-52", + "51-54", "52-title", "52-01", "52-06",