sw_jer_text_reg/51/01.txt

6 lines
598 B
Plaintext
Raw Normal View History

<<<<<<< HEAD
\c 51 \v 1 Yahwe asema hivi: Tazama, ninakwenda kuleta upepo wa maangamizi dhidi ya Babeli na dhidi yao waishio ndani ya Leb Kamei. \v 2 Nitatuma wageni Babeli. Watamtawanya na wataifanya ukiwa nchi yake, maana watakuja kinyume chake kutoka pote siku ya madhara.
=======
\c 51 \v 1 Yahwe asema hivi: Tazama, ninakwenda kuleta upepo wa maangamizi dhidi ya Babeli na dhidi yao waishio ndani ya Leb Kamai. \v 2 Nitawatuma Babeli wageni. Watamtawanya na wataifanya ukiwa nchi yake, maana watakuja kinyume chake kutoka pote siku ya madhara.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113