1 line
212 B
Plaintext
1 line
212 B
Plaintext
|
\v 15 Tazama, wananiambia, 'Neno la Bwana liko wapi? Hebu lije!' \v 16 Mimi sikuwahi kuacha kuwa mchungaji nyuma yako. Sikuitamani siku ya maafa. Unajua yaliyotoka mdomoni mwangu. Yalifanyika mbele ya uwepo wako.
|