sw_jer_text_reg/17/15.txt

1 line
212 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 15 Tazama, wananiambia, 'Neno la Bwana liko wapi? Hebu lije!' \v 16 Mimi sikuwahi kuacha kuwa mchungaji nyuma yako. Sikuitamani siku ya maafa. Unajua yaliyotoka mdomoni mwangu. Yalifanyika mbele ya uwepo wako.