sw_jer_text_reg/51/29.txt

1 line
160 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 29 Maana nchi itatikisika na kudhoofika, kwa kuwa mipango ya Yahwe inaendelea juu ya Babeli, kuifanya nchi ya Babeli kuwa nchi isiyofaa mahali pasipo na mtu.