sw_jer_text_reg/32/26.txt

1 line
293 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema, \v 27 "Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya? \v 28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.