\v 1 "Sikilizeni neno ambalo BWANA anawaambieni, enyi nyumba ya Israeli. \v 2 BWANA asema hivi, 'msijifunze njia za mataifa, na msishangazwe na ishara za mbinguni, kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya.
=======
\c 10 \v 1 "Sikilizeni neno ambalo Bwana anawaambieni, enyi nyumba ya Israeli. \v 2 Bwana asema hivi, 'msijifunze njia za mataifa, na msishangazwe na ishara za mbinguni, kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya.